ParokiayaMt.MariaKonsolata
Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo
S. L. P. 3030, Chuo Kikuu, MOROGORO
|
||
Kumb. Na:Mt. Maria Konsolata/Hrb/2015
|
Tarehe: 24/04/2015
|
KWAYA
YA MT.MARIA CONSOLATA
S.L.P 3030
KWAYA YA MT. THOMAS WA
AKWINO
KIGANGO CHA MT. JOSEPHINE BAKHITA
S.L.P
NANENANE – MOROGORO
K.K. PADRE
MLEZI (PAROKO)
PAROKIA
YA MT.MARIA CONSOLATA
S.L.P
3030
SUA
–MOROGORO
YAH.ZIARA
YA UINJILISHAJI HAPO KIGANGONI KWENU
Tumsifu Yesu Kristo………………………………………!
Rejea kichwa
cha barua hapo juu.
Sisi wanakwaya wa Kwaya ya Mt.Maria Consolata Parokia ya Mt.Maria Consolata SUA Kampasi kuu, tunayofuraha kubwa kuomba kufanya ziara ya uinjilishaji kwanjia ya kuimba hapo Kigangoni siku ya Tar.03/05/2015 Jumapili ya 5 ya Pasaka. Niani kuongoza Misa za sikuhiyo kama zipo zaidi ya moja na kuuza CD za albamu yetu ya kwanza “Fanya Haraka Ee Mwenyezi Mungu” (audio)
itakayo tuwezesha kuzindua Video yake mwezi wa sita mwaka huu.
Nimatumaini yetu kuwa ombi letu litapokelewa.
Tunawatakia utume mwema katika kumsifu Mungu kwa Nyimbo.
Asante!
………………… ………..…………
HELMAN NYIGO ELISHA N.
MONELLAH
KATIBU M/KITI
Mawasiliano
0755 – 679 471(M/kiti)
0764–200 952 (Katibu)
0753 – 210 184 (Mwl. MkuuwaKwaya)
Nakala
Mleziwakwaya –Mt.MariaConsolata -SUA
M/kitiwashikwaka –Parokiaya Mt. Maria
Consolata - SUA
M/kiti wa TMCSParokiaya Mt.
MaraiaConsolata-SUA
M/kiti wa Kigango- Kigango cha Mt.Josephine
Bakhita –Nanenane Morogoro.
ni nzuri panua wigo wa injili kwa maana kila ulimi lazima ukiri kwamba kristo ni BWANA
ReplyDeleteni nzuri panua wigo wa injili kwa maana kila ulimi lazima ukiri kwamba kristo ni BWANA
ReplyDelete