Friday, 27 March 2015

TANGAZO

TUMSIFU YESU KRISTO..................!
Tunapenda kuwatangazia wanakwaya wote luwa kutakuwa na mazoezi ya mfululizo kuanzia Juma tatu aijayo mpaka siku ya Juma mosi ya mkesha wa PASAKA, hii ni kutokana na kuwa muda hautoshi kufanaya mazoezi kwa kupumziak siku moja au mbili.
Asanteni
Mwl.Mkuu wa kwaya
Tembo J,A.

No comments:

Post a Comment